28 Anipenda ni kweli


1. Anipenda ni kweli;
Mungu anena hili;
Sisi wake watoto;
kutulinda si zito. 
 
Yesu anipenda,
Yesu anipenda,
Kweli anipenda,
Mungu amesema. 
 
2. Kwa kupenda akafa
Niokoke na kufa;
Atazidi taka,
Sana ataniweka.
 
3. Anipenda kabisa;
Niuguapo sasa
Anitunza Mbinguni
Nniliyelala chini.
 
4. Kunipenda haachi,
Tu sote hapa chini
Baada ya mashaka
Kwake tanipeleka. 

Comments