27 Mungu ni pendo


1. Mungu ni pendo, apenda watu;
Mungu ni pendo, anipenda

Sikilizeni furaha yangu,
Mungu ni pendo, anipenda.
 
2. Nilipotea katika dhambi,
Nikawa mtumwa wa shetani.
 
3. Akaja Yesu kuniokoa,
Yeye kanipa kuwa huru
 
4. Sababu hii namtumikia,
Namsifu yeye siku zote. 

Comments

Popular posts from this blog

23 Ni salama rohoni mwangu

7 Ni tabibu wa karibu

16 Kumtegemea Mwokozi