13 Tafuta daima utakatifu


1. Tafuta daima utakatifu;
Fanya urafiki na Wakristo tu;
Nena siku zotena Bwana wako,
Baraka uombe kwa kila jambo.
 
2. Tafuta daima utakatifu;
Uwe peke yako ukimwabudu;
Ukimwangalia mwokozi wako,
Utabadilishwa kama alivyo.
 
3. Tafuta daima utakatifu;
Kiongozi wako aew Yesu tu;
Katika furaha au huzuni
Dumu kumfuata Yesu Mwokozi.
 
4. Tafuta daima utakatifu;
Umtawaze Roho moyoni mwako;
Akikuongoza katika haki,
Hufanywa tayari kwa kazi yake. 

Comments