11 Nina haja nawe


1. Nina haja nawe
Kila saa;
Hawezi mwingine
Kunifaa.
 
Yesu, nakuhitaji
Vivyo kila saa!
Niwezeshe, Mwokozi,
Nakujia.
 
2. Nina haja nawe;
Kaa nami,
Na maonjo haya,
Hayaumi.
 
3. Nina haja nawe;
Kila hali,
Maisha ni bure,
Uli mbali.
 
4. Nina haja nawe,
Nifundishe
Na ahadi zako
Zifikishe.
 
5. Nina haja nawe,
Mweza yote,
Ni wako kabisa
Siku zote. 

Comments