146 Neno la Mungu takata


1. Neno la Mungu takata
Lililotoka mbinguni;
Ambalo moto na panga
Haziwezi kulishinda.

 
/:Twakushika siku zote
Maishani na kufani. :/
 
2. Waliotutangulia
Waliokutegemea,
Wamekufia mashujaa;
Nasi tulio watoto.
Twakushika …
 
3. Neno la Mungu takata,
Tukushuhudie nasi
Kwa neno tamu na tendo
Kunako wenzi au adui.
Twakushika …

Comments

Popular posts from this blog

23 Ni salama rohoni mwangu

7 Ni tabibu wa karibu

16 Kumtegemea Mwokozi